Sweden yaridhishwa na maendeleo ya Tanzania Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wafanyakazi wa SIDA katika makao makuu ya shirika hilo la maendeleo la Sweden jijini Stockholm Serikali ya Sweden imesema inaridhishwa na kiwango cha maendeleo ya kiuchumi ya Tanzania kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita. Read more about Sweden yaridhishwa na maendeleo ya Tanzania