Kamanda wa polisi Mkoani Arusha, Liberatus Sabasi.
Kamanda wa polisi Mkoani Arusha, Liberatus Sabas, amesema tuhuma alizotoa Mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema, kuwa jeshi lake linamwonea kwa kumkamata na kumweka ndani hovyo, wakati yeye siyo mwahalifu.