Serikali yashauriwa isijadili kura ya maoni.
Kiongozi Mmuu wa chama cha ACT- Wazalendo Bw. Zitto Kabwe ameishauri serikali kuacha kujadili mchakato wa upigaji wa kura ya maoni ya Katiba inayopendekezwa kwa sasa hadi baada ya uchaguzi mkuu kutokana na mchakato huo kusuasua.