Wakazi wa jiji la Tanga wakichagua maembe katika Soko la Masiwani Chuma.
Halmashauri ya Jiji la Tanga imesema ni lazima wafanyabiashara wote kufuata kanuni na sheria zilizowekwa kwenye kila Soko kwa kuuza bidhaa husika inayotakiwa katika kila soko kwa namna walivyokubaliana.