Wananchi Vunjo wadai ardhi yao ya shamba
Wananchi wa jimbo la Vunjo wilayani Moshi wafanya maandamano makubwa kuishinikiza serikali iwatendee haki katika ugawaji wa ardhi ekari la 2000 za shamba la ushirika la Lokolova ambalo serikali mkoani Kilimanjaro
