Xtatic apatwa na msiba mzito msanii wa muziki wa nchini Kenya Xtatic akiwa na marehemu mama yake Staa wa michano wa kike kutoka nchini Kenya, Xtatic amepatwa na msiba mzito baada ya kufiwa na mama yake mzazi ambaye alikuwa akisumbuliwa na maradhi ambayo hakuweka wazi. Read more about Xtatic apatwa na msiba mzito