Jackie Chandiru avunja ndoa ya mtu

msanii wa muziki Uganda Jackie Chandiru akiwa na mumewe huku kulia mumewe akiwa na mrembo Adut Mawien

Siku chache tu baada ya msanii wa muziki Jackie Chandiru wa nchini Uganda kufunga ndoa na mumewe ambaye ni raia wa kigeni Van Vliet, imegundulika kuwa, mwanaume huyo tayari alikuwa na ndoa na mrembo Adut Mawien.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS