msanii wa muziki Uganda Jackie Chandiru akiwa na mumewe huku kulia mumewe akiwa na mrembo Adut Mawien
Siku chache tu baada ya msanii wa muziki Jackie Chandiru wa nchini Uganda kufunga ndoa na mumewe ambaye ni raia wa kigeni Van Vliet, imegundulika kuwa, mwanaume huyo tayari alikuwa na ndoa na mrembo Adut Mawien.