Basi LA Super Feo linalofanya safari zake kati ya Mbeya na Songea likiwa limetumbukia mtoni Leo asubuhi.
Watu watatu wamefariki dunia na wengine 42 kujeruhiwa baada ya basi la Super Feo lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Songea kutumbukia Mtoni eneo la Tazama Pipeline Inyara.