Watanzania hulipa kodi kubwa zaidi Afrika - Meza Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Vodacom Tanzania Rene Meza Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Vodacom Tanzania Rene Meza amesema Tanzania ni nchi pekee ambayo wananchi wake wanalipa kodi kubwa katika sekta ya mawasiliano tofauti na nchi nyingi Afrika. Read more about Watanzania hulipa kodi kubwa zaidi Afrika - Meza