Waratibu elimu wapewa pikipiki Kigoma

Mkuu wa mkoa wa Kigoma Luten Kanali Mstaafu Issa Machibya akiongea na Waribu wakatri wa kukabidhi Pikipiki

Mkoa wa kigoma ni miongoni mwa mikoa saba nchini inayotekelza mradi wa kuboresha elimu ya msingi kwa kushirikiana na shirika la equip Tanzania baada ya kuwepo kwa wanafunzi waliomaliza darasa la saba huku wakiwa hawajui kusoma na kuandika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS