Takwimu zaonyesha ajali za Barabarani zimepungua Kamanda wa Kikosi cha usalama barabarani nchini, Mohamed Mpinga. Takwimu ya ajali za barabarani kitaifa zimeonyesha kupungua kwa kipindi cha miaka miwili kuanzia kipindi cha miezi sita ya mwaka 2015 tofauti na miezi sita ya mwaka 2014. Read more about Takwimu zaonyesha ajali za Barabarani zimepungua