Wanariadha waelekea China leo, waahidi ushindi Watanzania wanne leo wameondoka kuelekea Beijing nchini China kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ya riadha ya dunia yanayotarajiwa kuanza Agosti 22 mpaka 30 mwaka huu nchini humo. Read more about Wanariadha waelekea China leo, waahidi ushindi