Tutafanya kampeni za kistaarabu na amani-Lowassa

MWENYEKITI wa CHADEMA Kitaifa, Mh. Freeman Mbowe (wa pili kulia) akiwatambulisha Mgombea wa Urais wa Umoja wa vyama vinne vya upinzani (UKAWA

Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, ambae pia atawakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi Ukawa Mh. Edward Ngoyai Lowassa amesema watafanya kampeni za kistaarabu na zisizokuwa na matusi kwa nchi nzima.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS