Tutafanya kampeni za kistaarabu na amani-Lowassa
Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, ambae pia atawakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi Ukawa Mh. Edward Ngoyai Lowassa amesema watafanya kampeni za kistaarabu na zisizokuwa na matusi kwa nchi nzima.