UVCCM yamwondoa Kingunge kuwa kamanda wao

Mwanasiasa Mkongwe hapa nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru akizungumza na Waandishi wa Habari

Kikao cha baraza kuu UVCCM kilichofanyika katika ukumbi wa mwalimu J. Nyerere Dar es saalam chini ya mwenyekiti wake Sadifa J. Khamis kimemuengua na kumfukuza Kamanda wao wa taifa ndugu Kingunge Ngombale Mwiru.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS