TAMISEMI shughulikieni barabara vijijini-JK

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Akiogea na viongozi wa serikali za Mitaa(TAMISEMI)

Rais Jakaya Kikwete amewataka viongozi wa serikali za mitaa kuhakikisha kuwa wanajenga barabara maeneo ya vijijini ili kuchochea maendeleo katika maeneo ya vijijini na kufungua fursa mbalimbali za kiuchumi zilizoko katika maeneo hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS