Serikali kuendelea kuwajengea uwezo wajasiriamali Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaama Said Meck Sadiki Serikali imeahidi kuendelea kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo nchini kwa kuwaondolea vikwazo vinavyosababisha mazingira ya kufanyia shughuli zao kuwa magumu. Read more about Serikali kuendelea kuwajengea uwezo wajasiriamali