Kamikaze ajitetea, Wakacha bado ipo

Cyrill

Nyota wa muziki Cyrill Kamikaze amezungumzia kupotea kwa Wakacha muungano wa wasanii ambao kwa kiasi kikubwa uliweza kuishika tasnia ya Bongo Fleva katika kipindi cha nyuma kwa upande wa kazi nzuri za muziki na Showbiz.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS