Malinzi ampongeza Mbwana Samatta kwa tuzo

Mbwana Samatta akipokea tuzo yake ukumbi wa mikutano wa kimataifa mjini Abuja

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu (TFF), Jamal Malinzi amempongeza mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania na klabu ya TP Mazembe ya Congo DR kwa kushinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wanaocheza ndani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS