Tumieni TEHAMA kutatua migogoro ya Ardhi-Lukuvi Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi Wiliam Lukuvi Makamishna wizara ya ardhi,nyumba na maendeleo ya makazi wametakiwa kuanzisha mfumo maalumu wa TEHAMA ili kurahisisha shughuli za utatuzi wa migogoro ya ardhi nchini. Read more about Tumieni TEHAMA kutatua migogoro ya Ardhi-Lukuvi