Serikali kuanza Uchunguzi ufisadi sh.b.15
Serikali imesema baada ya mahakama ya London nchini Uingereza kuamuru Tanzania irejeshewe chenji yake ya Dola za Kimarekani milioni 7 sana(sawa na bilioni 15 imesema inaazna uchunguzi dhidi ya kampuni ya EGMA ili kubaini sakata hilo la rushwa