Mashaga alia na uhaba wa eneo la kufanyia mazoezi

Katibu Mkuu wa BFT Makore Mashaga akiwa Makao Makuu ya Chama cha Ngumi,Uwanja wa Taifa .

licha ya kuendelea vyema na mazoezi ya maandalizi kushiriki mashindano ya kufuzu kucheza Olimpiki mwakani yatakayofanyika huko Casablanca Timu ya Taifa ya ngumi inakabiliwa na shida ya sehemu ya kufanyia mazoezi hayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS