Skonga Ndani ya #SKONGA wiki hii Fanaka Memorial sec. school na wanajadili hili kwenye Kimbweta: Mwanafunzi kuhama shule mbalimbali inaweza ikamuathiri kimasomo au ikamsadia ufaulu zaidi wa masomo yake? Na wakakuna kidevu pia kwenye Q AND A. Submitted by richard on Alhamisi , 3rd Dec , 2015 Read more about Skonga