Stand yamsajili Beki wa Ivory Coast, yaacha wanne
Katika kuboresha kikosi chake kwa ajili ya kuelekea katika muendelezo wa michuano ya ligi kuu ya soka Tanzania Bara, uongozi wa Stand United ya mkoani Shinyanga imefanikiwa kunasa saini ya beki kutoka Ivory coast, Assouman N'guessan David