Wasanii TZ wampongeza Mbwana Samatta

mwanasoka wa Tanzania Mbwana Samatta aliyetwaa Tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika wa CAF

Kufuatia ushindi mkubwa kabisa wa mwanasoka wa Tanzania Mbwana Samatta wa kutwaa Tuzo ya Mwanasoka Bora Afrika wa CAF, umepokelewa kwa furaha kubwa hapa Nyumbani Tanzania kwa ujumla.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS