Serikali kushtaki wazazi wasiopeleka watoto shule
Waziri wa afya,maendeleo ya jamii jinsia,watoto na wazee Bi Ummy Mwalimu amesema serikali imekusudia kuwafungulia mashtaka wazazi na walezi kote nchini ambao hawatawapeleka watoto wao shule za msingi na sekondari.

