Matonya atamani wasanii zaidi Bongo

Nyota mkongwe katika gemu ya Bongofleva, Matonya

Nyota mkongwe katika gemu ya Bongofleva, Matonya amesema kuwa ili kukuza muziki hapa Bongo, kunahitajika wasanii kuongezeka zaidi wakiwa pia na juhudi binafsi zinazoeleweka katika kiwango kinachotakiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS