Wajapan wazima ndoto ya Ulimwengu na Samatta
Ndoto za wachezaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kucheza fainali ya ligi ya klabu bingwa ya dunia nchini Japani ama angalau kukutana na timu kubwa kama Barcelona imeyeyuka baada ya hii leo timu yao kupoteza mchezo.