Wajapan wazima ndoto ya Ulimwengu na Samatta

Wachezaji wa Tanzania Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu wanaokipiga na timu ya TP Mazembe ya DR. Congo.

Ndoto za wachezaji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu kucheza fainali ya ligi ya klabu bingwa ya dunia nchini Japani ama angalau kukutana na timu kubwa kama Barcelona imeyeyuka baada ya hii leo timu yao kupoteza mchezo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS