Charity Goat Races
Mashindano ya Mbuzi yanayoandaliwa na Dar es salaam Charity Goat Races, Dhumuni kubwa la mbio hizi za Mbuzi ni kukusanya hela kutoka mashirika mbalimbali na hela hiyo huwa kwenda kusaidia vituo mbalimbali vya misaada kwa jamii kama vituo vya watoto yatima, vituo vya watu waremavu wa viungo.
Mashindano haya yanawaku wazi kwa jamii nzima, kunakuwa na michezo ya haina mbalimbali hadi kwa watoto wadogo. Waratibu wa mashindano haya ni Paul Joynson-Hicks – Chairman, Abdu Simba – Director, Karen Stanley – Director