Yanga yatamba kuziua Mgambo JKT na Afrcan Sports
Klabu mbalimbali za ligi kuu ya soka Tanzania bara zimewasili kwenye vituo ambavyo watacheza mechi zao za ligi inayorejea kilingeni wikiendi hii ambapo mabingwa watetezi Yanga wamewasili rasmi mjini Tanga hapo jana tayari kwa michezo miwili.