Yanga yatamba kuziua Mgambo JKT na Afrcan Sports

kikosi cha Yanga kwenye picha ya pamoja kabla ya moja ya mechi za ligi kuu tanzania bara msimu uliopita

Klabu mbalimbali za ligi kuu ya soka Tanzania bara zimewasili kwenye vituo ambavyo watacheza mechi zao za ligi inayorejea kilingeni wikiendi hii ambapo mabingwa watetezi Yanga wamewasili rasmi mjini Tanga hapo jana tayari kwa michezo miwili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS