Mashindano ya Taifa Baseball kuanza rasmi leo

Katibu mkuu wa mchezo wa Baseball na Softball nchini Alferio Moris Nchimbi akizungumza na waandishi wa habari juu ya ya mashindano ya Taifa ya michuano hiyo.

Mashindano ya Taifa ya Baseball yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi rasmi hii leo kwenye viwanja vya shule ya sekondari ya Azania iliyopo jijini Dar es salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS