CWT yataka mabaraza ya Wafanyakazi kuvunjwa

Mwenyekiti wa (CWT) mkoani wa Iringa Mwalimu, Stanslaus Muhongole

Chama cha Walimu mkoani Iringa(CWT), kimeitaka serikali mkoani Iringa kuyavunja mabaraza ya wafanyakazi yaliyokwishamaliza muda wake na kutendea haki kada ya ualimu kwa kuteua wajumbe wengi kutoka kada hiyo kama kanuni za utumishi zinavyoelekeza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS