Shehena ya vipodozi yakamatwa Morogoro
Jeshi la polisi mkoani Morogoro limefanikiwa kukamata shehena ya vipodozi vinavyodaiwa kuwa ni bandia na vilivyoingizwa nchini kinyume na sheria ambapo watu watatu wanashikiliwa na jeshi hilo kutokana na tukio hilo.