Kinondoni,Ilala washindwa kufanya uchaguzi wa Meya

Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni Bw, Mussa Natty

Mchakato wa kuwapata Meya wa Manispaa ya Kinondoni na Ilala jana umeshindikana baada ya malalamiko kutoka kwa madiwani na wabunge wa vyama vya upinzani kudai kuhujumiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS