Kinondoni,Ilala washindwa kufanya uchaguzi wa Meya
Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni Bw, Mussa Natty
Mchakato wa kuwapata Meya wa Manispaa ya Kinondoni na Ilala jana umeshindikana baada ya malalamiko kutoka kwa madiwani na wabunge wa vyama vya upinzani kudai kuhujumiwa.