Ajib aiokoa Simba Mapinduzi Cup, Yaifunga URA 1-0

Ibrahim Ajib amerejesha matumaini ya Simba kusonga mbele kwenye michuano ya Mapinduzi Cup baada kupachika kambani bao pekee ambalo limeipa Simba ushindi na pointi tatu muhimu kwenye mchezo wa kundi A uliopigwa uwanja wa Amaan visiwani Zanzibar.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS