Katibu wa zamani wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ambaye kwa sasa ni Waziri wa wizara ya utamaduni sanaa na michezo akizungumza na waandishi wa habari kipindi cha nyuma.
Shirikisho la masumbwi nchini PST limempongeza Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye kwa kuteuliwa kuwa waziri mpya wa wizara ya utamaduni, wasanii na michezo.