Kagera Sugar yatua Tabora kuivaa Ndanda FC.

Kikosi cha Kagera Sugar katika picha kabla ya kuikabili Yanga Oktoba 31, 2015

Klabu ya Kagera Sugar imewasili mkoani Tabora tayari kwa mtanange wake wa ligi kuu ya soka Tanzania bara dhidi ya Ndanda kutoka Mtwara utakaopigwa Jumamosi hii kwenye uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS