Prof. Maghembe aanza kutema cheche
Waziri wa maliasili na utalii Prof. Jumanne Maghembe amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa mipango na matumizi endelevu ya raslimali za misitu, Mohammed Kilongo na mawakala wa huduma za misitu nchi nzima kwa kushindwa kusimamia mapato ya serikali ipasavyo