ABIRIA KUWENI MAKINI MSIMU HUU WA SIKUKUU- MPINGA Kamanda wa polisi kikosi cha usalama barabarani nchini DCP Mohamed Mpinga amewataka abiria kote nchini kuwa makini wanapotaka kusafiri katika kipindi hiki cha sikukuu za Krismas na Mwaka mpya. Read more about ABIRIA KUWENI MAKINI MSIMU HUU WA SIKUKUU- MPINGA