Jeshi la polisi laonya madereva wa bodaboda Jeshi la Polisi nchini Tanzania limewaonya madereva wote wa vyombo vya moto nchini kuzingatia sheria za barabarani hasa katika kipindi hiki cha sikukuu za mwisho wa mwaka. Read more about Jeshi la polisi laonya madereva wa bodaboda