TACAIDS yasisitiza kubadilishwa kwa sheria ya ndoa
Tume ya Kudhibiti UKIMWI nchini Tanzania (TACAIDS) leo imezinduwa ripoti ya tathmini ya mazingira ya kisheria katika mwitikio wa UKIMWI, huku ikibanisha kubadilishwa baadhi ya sheria ili kuendana na wakati katika mapambano dhidi ya ugonjwa huo.

