TACAIDS yasisitiza kubadilishwa kwa sheria ya ndoa

Tume ya Kudhibiti UKIMWI nchini Tanzania (TACAIDS) leo imezinduwa ripoti ya tathmini ya mazingira ya kisheria katika mwitikio wa UKIMWI, huku ikibanisha kubadilishwa baadhi ya sheria ili kuendana na wakati katika mapambano dhidi ya ugonjwa huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS