Wababe wa tenis wafuzu 16 bora Australian Open

Mcheza Tennis nambari mbili duniani Roger Federer amefuzu raundi ya 4 ya 16 bora katika michuano ya wazi ya Australia baada ya kumshinda Grigor Dimitrov kwa seti 3 kwa 1 katika mchezo wa raundi ya 3.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS