JKT Mlale uso kwa uso na Majimaji kombe la FA

Moja ya mechi ya kombe la shirikisho iliyopigwa jijini Dar es salaam

Klabu ya JKT Mlale itakutana na ndugu zao wa Majimaji katika raundi inayofuata ya kombe la shirikisho la FA baada ya hii leo kuchomoza na ushindi wa penati 13-12 dhidi ya Mighty Elephant katika mechi ya mzunguko wa pili iliyomalizika kwa sare.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS