Msitu wa Mgodi wa dhahabu Geita wavamiwa Baadhi ya Wananchi waliovamia Mgodi wa Geita Watu zaidi ya 1,000 wamevamia msitu wa hifadhi ya Taifa ya Rwamgasa katika wilaya za Geita na Mbogwe mkoani Geita na kuendesha uchimbaji madini aina ya dhahabu na kusababisha uharibifu. Read more about Msitu wa Mgodi wa dhahabu Geita wavamiwa