Msitu wa Mgodi wa dhahabu Geita wavamiwa

Baadhi ya Wananchi waliovamia Mgodi wa Geita

Watu zaidi ya 1,000 wamevamia msitu wa hifadhi ya Taifa ya Rwamgasa katika wilaya za Geita na Mbogwe mkoani Geita na kuendesha uchimbaji madini aina ya dhahabu na kusababisha uharibifu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS