Uzeni mifugo kukabiliana na Njaa-Chiku Gallawa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Luteni Chiku Gallawa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa amewataka wafugaji mkoani humo kuuza mifugo yao ili kuweza kukabiliana na tatizo la njaa linaloukabili mkoa huo kwa sasa. Read more about Uzeni mifugo kukabiliana na Njaa-Chiku Gallawa