Simba yaikalia kooni TFF Azam FC kwenda Zambia Klabu ya Simba imesema, shirikisho la soka nchini TFF limevunja kanuni zao wenyewe walizojiwekea baada ya kuiruhusu Timu ya Azam FC kwenda nchini Zambia. Read more about Simba yaikalia kooni TFF Azam FC kwenda Zambia