Hatuko tayari kuwanyima wananchi haki yao - Heche

Mbunge wa Tarime vijijini kupitia chama cha CHADEMA Joh Heche, amesema kitendo cha kutorushwa live kwa matangazo ya bunge ni kuvunja katiba na kuwanyima wananchi haki ya kupata habari kama inavyoelezwa kwenye katiba ya nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS