Chiba asema na wenye ulemavu
Kutoka Yamoto Band, msanii mpya anayeishika bendi hiyo kwa upande wa unenguaji licha ya ulemavu wa mguu alionao, Chiba ametoa wito kwa watu wenye ulemavu kujituma kiubunifu katika kufanya kazi, akiamini kuwa kuonesha kazi nzuri kunazaa mafanikio.

