Haji Mwinyi atoka majeruhi, aanza mazoezi mepesi Beki wa kushoto wa Yanga, Haji Mwinyi, ameshusha presha kwa kurejea kikosini baada ya kupona maumivu ya tumbo huku akiahidi kuwepo uwanjani katika mechi ya watani wao wa jadi Simba. Read more about Haji Mwinyi atoka majeruhi, aanza mazoezi mepesi