Viwanja saba kuwaka moto ligi kuu bara Jumapili

Ligi kuu ya soka Tanzania bara VPL inataraji kuendelea Jumapili hii kwa mzunguko wa 18 kwa viwanja saba kuwaka moto kwa timu 14 kusaka alama tatu muhimu ili kujiimarisha katika msimamo wa ligi hiyo yenye timu 16.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS