ATM itatimiza ndoto za watoto Afrika Mashariki

Msanii wa Filamu kutoka nchini Kenya, Ashley Toto,

Msanii wa Filamu kutoka nchini Kenya anaefanya kazi zake nchini Ujerumani Ashley Toto, amezindua kampuni yake ya Ashley Toto Media(ATM) ambayo ni kwa ajili ya kuwasaidia watoto wa Afrika na kuwainua wasanii wa Afrika Mashariki na kati.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS