Vigogo vya La Liga vyafungiwa na FIFA kusajili Nembo za vigogo vya soka nchini Hispania Atletico madrid (kulia)na Real Madrid(kushoto) Miamba ya soka nchini Uhispania Real Madrid na Atletico Madrid wamepigwa marufuku kutonunua wachezaji wapya sokoni kwa vipindi viwili. Read more about Vigogo vya La Liga vyafungiwa na FIFA kusajili