Vigogo vya La Liga vyafungiwa na FIFA kusajili

Nembo za vigogo vya soka nchini Hispania Atletico madrid (kulia)na Real Madrid(kushoto)

Miamba ya soka nchini Uhispania Real Madrid na Atletico Madrid wamepigwa marufuku kutonunua wachezaji wapya sokoni kwa vipindi viwili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS