TAT yataka madereva waunde vyama vya kuwatetea

Mwenyekiti wa Chama cha Wasarishaji nchini (TAT),Bw. Zacharia Hans Poppe

Chama cha Wasafirishaji nchini TAT kimesema migomo ya madereva wa maroli haitakwisha endapo hawatakua na chombo kimoja cha kuwasemea kisheria ili kufika suluhu ya mgogoro wao na waajiri kwa muda mrefu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS