Mahakama yakabidhiwa bilioni 12 za maendeleo

Waziri wa fedha na uchumi Dkt Philip Mpango

Wizara ya fedha na Mipango, leo imetimiza ahadi ya Rais John Pombe Joseph Magufuli, aliyoitoa katika kilele cha siku ya mahakama nchini juma lililopita; ya kuipatia idara ya mahakama kiasi cha shilingi bilioni 12.3 kwa ajili shughuli za maendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS