Mahakama yakabidhiwa bilioni 12 za maendeleo
Wizara ya fedha na Mipango, leo imetimiza ahadi ya Rais John Pombe Joseph Magufuli, aliyoitoa katika kilele cha siku ya mahakama nchini juma lililopita; ya kuipatia idara ya mahakama kiasi cha shilingi bilioni 12.3 kwa ajili shughuli za maendeleo.
