Shilole hakuwa mke mzuri kwangu - Nuh Mziwanda Msanii Nuh Mziwanda amefunguka baada ya kuachana na mwandani wake Shilole, na kusema kuwa Shilole hakuwa mtu mzuri kwake, ndiyo maana ameamua kufuta hata tatoo ya jina lake aliyoichora. Read more about Shilole hakuwa mke mzuri kwangu - Nuh Mziwanda