Wachezaji DRC waula, kila mmoja apewa Prado
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) Joseph Kabila amewazawadia wachezaji wa timu ya taifa lake magari ya kifahari, pamoja na medali baada ya kushinda kombe la taifa bingwa kwa wachezaji wa ligi za ndani barani Afrika CHAN 2016.

