Makamu Mkuu wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam Profesa Rwekaza Mukandala akimkabidhi Rais Dkt .Jakaya Mrisho Kikwete cheti cha Shahada ya Heshima ya Uzamivu
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete amemshurukuru Rais Magufuli kwa kumteua kuwa mkuu wa chuo na kuahidi kuendeleza upanuzi na uboreshaji wa chuo hicho.