Barabara za kupunguza foleni DSM kukamilika June

Waziri wa Ujenzi , Mawasiliano na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa (wa pili kushoto), akikagua ujenzi wa Daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam.

Mradi wa ujezi wa barabara za mlisho kwa ajili ya kupunguza msongamano katika Jiji la Dar es salaam unatarajia kumalizika mwezi Juni mwaka huu na serikali inataraji kuwalipa makandarasi wanaodai karibu shilingi trilioni 1.2 kwa ajili ya ujenzi huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS