20 wakamatwa Mbeya kwa kuingila nchini bila kibali Zoezi la kuwasaka wahamiaji haramu na wageni wanaofanya kazi bila kibali limeendelea kwa kasi mkoani Mbeya ambapo jumla ya wageni 20 wamekamatwa mkoani humo. Read more about 20 wakamatwa Mbeya kwa kuingila nchini bila kibali