Wakandarasi wa ndani watakiwa kuongeza uzoefu

Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Edwini Ngonyani

Waziri mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amewataka wakandarasi nchini kuungana na wakandarasi wa nje ili waongeze ujuzi na uzoefu na kuleta ufanisi katika shughuli za uendelezaji miradi mbalimbali ya kimaendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS